Wednesday, April 29, 2015
Monday, April 27, 2015
BIN ZUBEIRY: PLUIJM AFIKISHA MECHI 45 YANGA SC LEO. AMEFUNGWA S...
BIN ZUBEIRY: PLUIJM AFIKISHA MECHI 45 YANGA SC LEO. AMEFUNGWA S...: Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM KOCHA Mholanzi, Hans van der Pluijm leo ataiongoza Yanga SC katika mechi ya 45 tangu aanze kuifundisha mwak...
Saturday, April 25, 2015
Volcano yalipuka Chile
Mlipuko wa volcano kwenye mlima wa Calbuco kusini mwa Chile umetokea mara mbili katika kipindi cha saa 24 na kuacha eneo hilo katika hali ya taharuki. Volcano hiyo ililipuka kwa mara ya kwanza Jumatano baada ya kipindi cha zaidi ya miongo minne na kutupa majivu ya urefu wa kilomita 10 angani.
Mamlaka ya Chile yaliyoshtushwa na tukio hilo yalianza kuwaondoa maelfu ya watu kutoka eneo hilo na kutoa ilani kwa miji ya Puerto Montt na Puerto Varas, ambayo ni maarufu kwa utalii. Mlipuko mwingine ulishuhudiwa mapema Alhamisi.
Hakuna majeruhi yaliyoripotiwa. Mamlaka yameondoa zaidi ya watu 4000 huku gesi na majivu zikiendelea kutoka kwenye volcano hiyo. Idara ya kitaifa ya masuala ya jiolojia na Madini nchini Chile imeonya huenda mlipuko wa tatu ukatokea
Tuesday, April 21, 2015
Thursday, April 16, 2015
Maji yanayoweza kukinga risasi yatengezwa
11 Aprili 2015
Wanasayansi
nchini Poland wametengeza maji ambayo yakipakwa katika vazi linaloweza
kukinga risasi ,yanaweza kuzuia risasi mbali na dharubu inayosababishwa
na kasi yake kutosababisha madhara ndani ya mwili wa binaadamu.Maji hayo
hufanya kazi kwa kuwa magumu wakati risasi inapopiga na kufyonza risasi
hiyo pamoja na dharubu itakayosababishwa na kuisambaza katika kila eneo
la vazi hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)